Taarifa iliyotolewa na Serikali ya Wanafunzi wa Chuo cha SAUT (SAUTSO) inaeleza kuwa mwili huo ulikutwa katika poli hilo ikiwa ni hatua chache kutoka kilipo chuo kikuu hicho
Aidha taarifa hiyo inaainisha jinsia ya mwili huo kuwa ni mwili wa mwanaume ambaye mpaka sasa hajafahamika kwa jina wala wadhifa wake
Hatua ambayo imekwisha kuchukuliwa na chuo kikuu hicho ni kuupeleka nwili huo katika hospitali ya Rufaa ya Kanda (BUGANDO).
